Luka 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Halafu Yesu akaenda pamoja nao. Alipokuwa karibu na kwa yule mukubwa wa waaskari, yule mukubwa akawatuma warafiki zake kumwambia Yesu: “Bwana, usijisumbue, kwa maana mimi sistahili kukupokea ndani ya nyumba yangu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |