Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa sana na yule mukubwa, na kugeukia kundi la watu waliomufuata, na kusema: “Ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.”
“Basi mufanye angalisho na jinsi munavyosikia maneno. Kwa maana mutu anayekuwa na kitu, ataongezewa kingine, lakini mutu asiyekuwa na kitu, atanyanganywa kile anachozania kuwa nacho.”
kwa sababu alikuwa na mutoto mumoja binti wa pekee mwenye umri wa miaka yapata kumi na miwili, na aliyekuwa karibu kufa. Yesu alipokuwa akienda kule, kundi kubwa la watu walimusongasonga.