49 Na waalikwa wengine waliokuwa wakikula pamoja na Yesu, wakaanza kujisemesha: “Ni mutu gani huyu anayesamehe zambi?”
Nyuma Yesu akaikaa kula chakula ndani ya nyumba ya Matayo. Walipishaji wengi wa kodi na watenda mabaya wengine walikuwa wamekuja pale, nao waliikaa kula pamoja na Yesu na wanafunzi wake.
Halafu walimu wamoja wa Sheria waliokuwa pale wakajisemesha: “Mutu huyu anamutukana Mungu!”
“Namna gani mutu huyu anasubutu kumutukana Mungu? Ni nani anayeweza kusamehe zambi isipokuwa Mungu peke yake?”