Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 7:42 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

42 Na kwa kuona wote wawili hawakukuwa na uwezo wa kulipa madeni yao, yule bwana akawasamehe. Sasa, uniambie, kati ya hawa wawili, ni nani atakayemupenda yule bwana zaidi?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 7:42
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yule mwanamuke akamwambia: “Kwa nini basi, umepanga kutenda uovu huu juu ya watu wa Mungu? Kulingana na uamuzi wako juu ya jambo hilo, wewe mwenyewe umejihukumu kuwa na kosa kwa sababu haumuruhusu mwana wako arudi kwa nyumba kutoka kule alikokimbilia.


Ananisamehe uovu wangu wote, na kuniponyesha magonjwa yote.


Lakini mimi ndiye niliyefuta makosa yenu kwa heshima yangu, ndiye ninayefuta makosa kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitazikumbuka zambi zenu.


Nimezimisha makosa yako nayo yametoweka kama mawingu, nimefuta zambi zako, nazo zimepotea kama kunguku. Urudi kwangu maana mimi nimekukomboa.


Yule bwana akamusikilia mutumishi yule huruma, akamusamehe deni lile na kumwacha kwenda.


Basi yule bwana akakasirika sana, akamutoa mutumishi yule aazibiwe mpaka atakapolipa lile deni lake.”


Utusamehe makosa yetu, kama sisi tunavyowasamehe wanaotukosea,


Simoni akajibu: “Ninazani kwamba ni yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi.” Na Yesu akamwambia: “Umejibu vizuri.”


Lakini kwa neema ya Mungu wanahesabiwa haki kwa bure kwa njia ya Kristo Yesu anayewakomboa.


Kwa maana tulipokuwa hatuna uwezo wowote, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu kwa wakati uliopangwa.


Lakini wale wanaotegemea kutimiza yale yanayoamuriwa na Sheria, wamelaaniwa. Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Alaaniwe mutu yeyote asiyedumu katika yote yanayoandikwa katika hiki kitabu cha Sheria na kuyatii.”


Kwa njia ya damu ya Kristo, sisi tumekombolewa, maana yake zambi zetu zimesamehewa. Hivi Mungu ameonyesha uwingi wa neema yake


Lakini mutendeane wema ninyi kwa ninyi; musameheane kama Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.


Muvumiliane na kusameheana ninyi kwa ninyi wakati wowote mutu anapokuwa na neno la kumushitaki mwingine. Munapaswa kusameheana kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ