4 Wale wasimamizi walipofika kwa Yesu, wakamusihi sana, wakasema: “Umufanyie mutu huyu sawa anavyokuomba, kwa maana anastahili kutendewa vile.
“Mutakapoingia katika muji au katika kijiji, mutafute mutu anayekuwa tayari kwa kuwakaribisha, nanyi mukae kwake mpaka mutakapotoka kule.
Kama watu wa nyumba ile wakiwakaribisha, wakuwe na amani ile muliyowatakia, lakini wasipowakaribisha, amani ile iwarudilie.
Lakini wale watakaohesabiwa kwamba wanastahili kufufuliwa na kuishi katika nyakati zile zitakazokuja, hawataoa wala kuolewa.
Yule mukubwa aliposikia habari ya Yesu, akatuma kwake wasimamizi wamoja wa Wayuda, kwa kumwomba akuje kumuponyesha mutumishi wake.
Yeye anapenda taifa letu na ni yeye aliyetujengea nyumba yetu ya kuabudia.”
Yeye alikuwa mwenye kuogopa Mungu, naye alimwabudu Mungu pamoja na watu wote waliokuwa kwake. Aliwasaidia wamasikini wengi, naye alikuwa akimwomba Mungu siku zote.
Lakini ungali na watu wachache kule Sardi wasiochafua nguo zao. Wale ndio watakaotembea pamoja nami wakivaa nguo nyeupe kwa sababu wanastahili.