Luka 7:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200239 Yule Mufarisayo aliyemwalika Yesu alipoona vile, akajisemesha: “Kama mutu huyu angekuwa kweli nabii, angetambua mwanamuke huyu anayemugusa ni wa namna gani. Angetambua kwamba yeye ni mwenye mwenendo mubaya.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |