1 Yesu alipokwisha kusema maneno hayo yote kwa watu waliomusikiliza, akaenda Kapernaumu.
Lakini yule anayesikia maneno yangu pasipo kuyashika, anafananishwa na mutu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila kuchimba musingi. Maji kutoka muto yakaishambulia, na mara moja ikaanguka na kubomoka kabisa.”