Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 6:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Halafu Yesu akawaambia: “Mwana wa Mutu ndiye Bwana wa siku ya Sabato.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 6:5
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yesu akaongeza kuwaambia: “Siku ya Sabato iliwekwa kwa ajili ya mafaa ya mutu, lakini mutu hakuumbwa kwa ajili ya siku ya Sabato.


Halafu wingu likatokea na kuwafunika, na sauti ikasikilika toka katikati ya lile wingu ikisema: “Huyu ni Mwana wangu mupendwa. Mumusikilize!”


Aliingia ndani ya nyumba ya Mungu, akakamata mikate mitakatifu iliyotolewa kwa Mungu, akaikula na kuwapa watu wake vilevile, ijapokuwa mikate ile iliruhusiwa kukuliwa na makuhani wenyewe tu.”


Siku ingine moja ya Sabato, Yesu akaingia katika nyumba ya kuabudia na kuanza kufundisha. Na mule ndani mulikuwa mutu mumoja mwenye kukauka mukono wa kuume.


Siku moja ya kumwabudu Bwana, nikashikwa na Roho wa Mungu, nikasikia sauti kubwa, inayolia kama baragumu,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ