Luka 6:48 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200248 anafananishwa na mutu aliyejenga nyumba, akaichimbia musingi chini sana mpaka kwenye jiwe, na kuujenga pale. Mvua kubwa iliponyesha, muto ukajaa na maji yakashambulia nyumba ile, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |