Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Aliingia ndani ya nyumba ya Mungu, akakamata mikate mitakatifu iliyotolewa kwa Mungu, akaikula na kuwapa watu wake vilevile, ijapokuwa mikate ile iliruhusiwa kukuliwa na makuhani wenyewe tu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 6:4
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aliingia ndani ya nyumba ya Mungu na kula mikate mitakatifu iliyotolewa kwa Mungu. Ijapokuwa vile haikuruhusiwa kwake wala kwa watu wake kukula mikate kama ile, isipokuwa makuhani peke yao.


Halafu Yesu akawaambia: “Mwana wa Mutu ndiye Bwana wa siku ya Sabato.”


Daudi akamwambia: “Kwa hakika, ninapokwenda kwa ajili ya shuguli kubwa, wanawake wanatengwa mbali nasi! Ikiwa miili ya vijana wangu inakuwa mitakatifu na safi tunapokuwa kwenye shuguli za kawaida, basi, si zaidi katika shuguli hii kubwa?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ