Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 6:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Muko na shukrani gani kama munawatendea mema tu wale wanaowatendea mema? Hata wenye zambi wanafanya hivi vilevile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 6:33
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anayemutesa masikini kwa kujitajirisha na anayewapa watajiri zawadi, wote wawili wataishia kuwa wamasikini.


Lakini wenye heshima wanatenda mambo ya heshima, nao wanatetea mambo yenye heshima.


“Muko na shukrani gani kama munawapenda tu wale wanaowapenda? Kwa maana hata wenye zambi wanawapenda wale wanaowapenda.


Tena, muko na shukrani gani kama munawakopesha tu wale munaowatumainia kwamba watawarudishia? Hata wenye zambi wanawakopesha wenye zambi wenzao kusudi warudishiwe tena mali ile ile!


Uwaagize watende mema, wakuwe watajiri katika matendo mazuri, nao wasaidiane kwa moyo safi na kushiriki mali yao na wengine.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ