Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 6:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Wamoja kati ya Wafarisayo wakawauliza: “Sababu gani munafanya mambo yanayokatazwa kufanya kwa siku ya Sabato?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 6:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kiapo mbele ya Yawe kitaamua kati yao, kwa kuonyesha kwamba yule aliyepewa hakuiba mali ya mwenzake. Mwenye nyama yule atakubali kile kiapo na yule mwenzake hatalipa malipo yoyote.


Mutafanya kazi zenu kwa muda wa siku sita, lakini siku ya saba ni siku ya Sabato, ni siku ya kupumzika ambayo ni takatifu kwa ajili ya Yawe. Mutu yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo lazima atauawa.


Kwa siku sita mutafanya kazi zenu. Lakini siku ya saba ni Sabato, siku ya mapumziko ambayo ni takatifu kwa Yawe. Yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima auawe.


Kama ukiacha kufanya kazi siku ya Sabato, ukiacha shuguli zako siku yangu hiyo takatifu, ukiifanya siku yangu kuwa ya furaha, ukiheshimu siku hiyo takatifu ya Yawe, ukiacha shuguli zako au kupiga domo,


Wafarisayo walipoona mambo hayo, wakamwambia Yesu: “Angalia! Wanafunzi wako wanafanya mambo yanayokatazwa kufanya kwa siku ya Sabato!”


“Kwa sababu gani wanafunzi wako wanavunja desturi za babu zetu kwa kula chakula pasipo kunawa mikono?”


Basi Wafarisayo wakamwambia Yesu: “Sababu gani wanafunzi wako wanafanya jambo linalokatazwa kwa siku ya Sabato?”


Watu wamoja wakamwambia Yesu: “Wanafunzi wa Yoane na wale wa Wafarisayo wanafunga mara nyingi na kuomba, lakini wanafunzi wako wanaendelea kula na kunywa.”


Kwa sababu ile Wayuda wakaanza kumufuatilia Yesu kwa kuwa alifanya mambo haya kwa siku ya Sabato.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ