Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Yesu akawaangalia wote waliokuwa pale, kisha akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Naye akafanya vile, na mukono wake ukakuwa muzima tena.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 6:10
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, mufalme Yeroboamu akamwambia nabii: “Tafazali, umusihi Yawe, Mungu wako, uniombee mukono wangu upate kupona.” Naye nabii akamwomba Yawe, na mukono wa mufalme ukapona, ukarudia kwa hali yake ya zamani.


Kwa neno lake aliwaponyesha, akawaokoa wasiangamie.


Yesu akawakazia macho kwa kasirani, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wao. Akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Akaunyoosha, nao ukakuwa muzima tena.


Lakini wale wakubwa wakakasirika sana, wakaanza kusemezana wao kwa wao juu ya namna watakavyomutendea Yesu.


Kisha Yesu akawaambia: “Ninawauliza: Sheria inaturuhusu kufanya mema au mabaya kwa siku ya Sabato? Kuponyesha mutu au kumwua?”


Yesu akamwambia: “Simama, utwae kipoyi chako na uende.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ