Luka 6:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
1 Siku moja ya Sabato, Yesu akapita katika mashamba ya ngano, wanafunzi wake wakaanza kuchumachuma masuke ya ngano, wakayasiritasirita katika mikono yao na kuyakula.
Yawe akaendelea kusema: “Kwa muda wa siku saba, mutakula mikate isiyotiwa chachu. Siku ya kwanza ya siku hizo saba, mutaondoa chachu katika nyumba zenu. Mutu yeyote akikula kitu kilichotiwa chachu katika muda ule wa siku saba, anapaswa kuondolewa kati ya Waisraeli.
Siku ingine moja ya Sabato, Yesu akaingia katika nyumba ya kuabudia na kuanza kufundisha. Na mule ndani mulikuwa mutu mumoja mwenye kukauka mukono wa kuume.