9 Simoni na wote waliokuwa pamoja naye walishangaa sana kwa sababu ya wingi wa samaki waliowapata.
Umemufanya kuwa karibu sawa na Mungu, umemujaza utukufu na heshima.
kondoo, ngombe, na nyama wa pori,
Petro hakujua la kusema kwa maana yeye na wenzake waliogopa.
Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.
Nao wakashangaa sana kuona namna alivyowafundisha, kwa maana aliwafundisha kama mutu mwenye mamlaka.
Watu wote wakashangaa sana na kusemezana: “Hatujaona mambo kama haya! Mutu huyu anawaamuru pepo kwa mamlaka na uwezo wake, nao wanatoka!”
Yakobo na Yoane wana wa Zebedayo waliokuwa wavuvi wenzake na Simoni, walishangaa vilevile. Na Yesu akamwambia Simoni: “Usiogope; tangia sasa utafanya kazi ya kuopoa watu.”
Simoni Petro alipoona mambo hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu na kusema: “Bwana, utoke karibu nami, kwa sababu mimi ni mutu mwenye zambi!”