Lakini haifai kuwakwaza. Kwa hiyo kwenda kwenye ziwa, na utupe ndoana ndani ya maji. Na samaki wa kwanza utakayemunasa, ufungue kinywa chake, nawe utaona kikoroti cha feza. Ukikamate na kukitoa kwa kulipa kodi kwa ajili yetu sisi wawili.”
Yeye akawaambia: “Mutupe wavu upande wa kuume wa chombo na mutapata samaki.” Basi wakatupa wavu, nao wakashindwa kuukokota, kwa sababu ulikuwa umejaa samaki wengi.