Yawe anasema hivi: Musimame katika masanganjia, muangalie. Muulize juu ya matukio ya zamani. Mutafute pahali panapokuwa njia nzuri muifuate, nanyi mutaweza kupumzika. Lakini wao wakasema: Hatutafuata njia hiyo.
Siku moja ya Sabato, Yesu akapita katika mashamba ya ngano, wanafunzi wake wakaanza kuchumachuma masuke ya ngano, wakayasiritasirita katika mikono yao na kuyakula.