31 Yesu akawajibu: “Wenye afya nzuri hawahitaji muganga, lakini wale wanaokuwa wagonjwa.
Hakuna dawa ya kupakaa kule Gileadi? Hakuna muganga kule? Mbona basi watu wangu hawajaponyeshwa?
Yesu alisikia vile walivyosema, na kwa hiyo akawaambia: “Wenye afya nzuri hawahitaji muganga, ni wale wanaokuwa wagonjwa tu. Sikukuja kuwaita wenye haki kunifuata, lakini watenda mabaya.”
Sikukuja kuwaita wenye haki, lakini wenye zambi kusudi wageuke toka zambi zao.”