28 Lawi akasimama, akaacha vyote na kumufuata.
Basi wakakokota vyombo vyao mpaka inchi kavu, wakaacha vyote na kumufuata.
Kisha Lawi akamufanyia Yesu karamu kubwa katika nyumba yake. Walipishaji wengi wa kodi na watu wengine walikuwa wakikula pamoja nao.