3 Halafu Shetani akamufikia na kumwambia: “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili ligeuke mukate.”
Shetani akamufikia na kumwambia: “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yageuke kuwa mikate.”
na Roho Mutakatifu akashuka juu yake katika hali ya kimwili kwa mufano wa njiwa. Na sauti ikasikilika toka mbinguni ikisema: “Wewe ndiwe Mwana wangu mupendwa; ninapendezwa nawe sana.”
Kule akajaribiwa na Shetani kwa muda wa siku makumi ine. Kwa muda ule, yeye hakukula kitu. Na wakati siku zile zilipotimia, akasikia njaa.
Yesu akamujibu: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Mutu hawezi kuishi kwa mukate tu.’ ”