12 Lakini Yesu akamujibu: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Usimujaribu Bwana Mungu wako.’ ”
Walipatwa na tamaa kubwa kule katika jangwa, wakamupima Mungu kule kwenye ukiwa.
babu zenu waliponijaribu na kunipima, ingawa walikuwa wameona mambo niliyowatendea.
Tunayoona sisi, ni kwamba wenye kiburi ndio wenye furaha siku zote. Watu waovu, ingawa wanastawi, hata wanapomujaribu Mungu, hawapati azabu.
Yesu akamujibu: “Imeandikwa hivi vilevile: ‘Usimujaribu Bwana Mungu wako.’ ”
Shetani alipokwisha kumujaribu Yesu namna zote, akamwacha kwa muda.
Vilevile tusimupime Bwana kama vile wamoja wao walivyofanya, hata wakauawa na nyoka.
“Musimujaribu Yawe, Mungu wenu, kama vile mulivyomujaribu huko Masa.