15 Watu walikuwa wakitazamia kuja kwa Kristo, na wote wakazania kwamba labda Yoane ndiye yeye.
Wanafunzi wakaanza kusemezana hivi wao kwa wao: “Anasema hivi kwa sababu hatuna mikate.”
Halafu Wayuda wakamuzunguka, na kumwambia: “Mpaka wakati gani utatuzungusha kichwa? Kama wewe ni Kristo, utuambie waziwazi.”