12 Walipishaji wa kodi nao wakamufikia vilevile kusudi wabatizwe. Wakamwuliza: “Mwalimu, tufanye nini?”
Zawadi gani mutapata kutoka kwa Mungu, kama mukiwapenda tu wenye kuwapenda? Hata walipishaji wa kodi wanaokuwa wakorofi wanatendeana vile!
Lakini yule mulipishaji wa kodi alisimama kwa mbali, naye hakusubutu hata kuinua macho yake kuelekea mbingu; lakini alijipigapiga kwa huzuni na kusema: ‘Ee Mungu, unisamehe mimi mutenda mabaya.’ ”
Halafu watu wale wakamwuliza: “Basi tufanye nini?”
Naye akawajibu: “Musilipishe zaidi kuliko vile inavyoamuriwa.”
(Watu wote waliomusikiliza, na walipishaji wa kodi vilevile, wakakubali kwamba Mungu ni mwenye haki, hata wakabatizwa na Yoane.
Nao watu waliposikia maneno hayo, wakachomwa katika mioyo yao na kuwaambia Petro na mitume wengine: “Wandugu zetu, tufanye nini?”