8 Halafu wakakumbuka maneno yale Yesu aliyosema.
Waliporudia toka kwenye kaburi, wakapasha habari ile kwa wanafunzi kumi na mumoja na kwa wafuasi wengine wote wa Yesu.
Wanafunzi wake hawakuelewa maneno haya kwanza, lakini wakati Yesu alipokwisha kutukuzwa, wakakumbuka kwamba maneno haya yameandikwa juu yake na ni vile walivyomutendea.
Lakini Musaidizi, ndiye Roho Mutakatifu, yule Baba atakayemutuma kwa jina langu, atawafundisha maneno yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.