42 Wakamupa kipande cha samaki iliyochomwa.
Lakini Yesu aliwaagiza sana wasimwambie mutu yeyote jambo lililofanyika. Kisha akawaambia wamupe mutoto yule chakula.
Nao walipokuwa hawajasadiki bado kwa sababu ya furaha na mushangao, akawauliza: “Muko na chakula chochote hapa?”
Akakitwaa na kukikula mbele yao.
Basi Yesu akawajongelea, akatwaa mukate, akawagawanyia; na kuwapa samaki vilevile.