Kwa mwisho Yesu akawatokea wanafunzi kumi na mumoja walipokuwa wakikula. Naye akawakaripia kwa sababu ya kutokuamini kwao na kwa sababu ya ugumu wao. Kwa maana hawakusadikia wale waliomwona nyuma ya kufufuka kwake.
Naye akatambua sauti ya Petro akafurahi sana hata kwa pahali pa kufungua mulango akarudi mbio kuwapasha wengine kwamba Petro anasimama mbele ya mulango.