Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 24:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Nao walipokuwa hawajasadiki bado kwa sababu ya furaha na mushangao, akawauliza: “Muko na chakula chochote hapa?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 24:41
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata kama ningemwita naye akijibu, nisingeweza kuamini kwamba ananisikiliza.


Na waliposikia jinsi Maria alivyowaambia kwamba Yesu ni muzima, na kwamba amemwona, hawakumusadikia.


Nao wakarudi na kuwapasha wanafunzi wengine habari ile, lakini wao vilevile hawakusadikia.


Kwa mwisho Yesu akawatokea wanafunzi kumi na mumoja walipokuwa wakikula. Naye akawakaripia kwa sababu ya kutokuamini kwao na kwa sababu ya ugumu wao. Kwa maana hawakusadikia wale waliomwona nyuma ya kufufuka kwake.


Walikuwa vilevile na samaki ndogo chache. Yesu akamushukuru Mungu na kuwaambia wanafunzi wazigawanye vilevile.


Lakini mitume hawakusadiki maneno ya wale wanawake, waliwaza kwamba ni ya bure.


Alipokwisha kusema vile, akawaonyesha mikono na miguu yake.


Na sasa ninyi vilevile munasikia uchungu, lakini nitawaona tena, nanyi mutafurahi, wala hakuna mutu atakayeweza kuwahuzunisha tena.


Basi Yesu akawauliza: “Watoto wangu, mumepata samaki?” Wakamujibu: “Hapana.”


Naye akatambua sauti ya Petro akafurahi sana hata kwa pahali pa kufungua mulango akarudi mbio kuwapasha wengine kwamba Petro anasimama mbele ya mulango.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ