Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 24:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Lakini Yesu akawaambia: “Kwa sababu gani munafazaika na kuwa na mashaka?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 24:38
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wewe Yerusalema, usafishe maovu ya moyo wako, kusudi upate kuokolewa. Mpaka wakati gani utaendelea kuchunga maovu?


basi, ni wewe, ee mufalme, ambaye umekuwa mukubwa na mwenye nguvu. Ukubwa wako umefika mpaka mbinguni, na ufalme wako umeenea mpaka miisho ya dunia.


Kisha, Danieli akafika, anayeitwa vilevile Beltesaza, jina la mungu wangu, ambaye roho ya miungu mitakatifu iko ndani yake, nami nikamwelezea ndoto yangu, nikasema:


Yesu akatambua maneno waliyosema, basi akawauliza: “Ee ninyi wenye imani ndogo, sababu gani munasemezana kati yenu juu ya kukosa mikate?


Wakashituka na kuogopa, wakizani kwamba wameona muzimu.


Muangalie mikono yangu na miguu yangu, kusudi mupate kutambua kwamba ni mimi. Muniguse, muone, kwa maana muzimu hana mwili wala mifupa kama hivi munavyoniona kuwa navyo.”


Hakuna kitu kinachoweza kufichwa mbele ya Mungu, lakini vitu vyote vinafunuliwa na viko wazi mbele ya macho yake, yeye tutakayemutolea hesabu ya maneno yetu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ