37 Wakashituka na kuogopa, wakizani kwamba wameona muzimu.
Naye tajiri akasema tena: ‘Ee Abrahamu, ile haitoshi. Lakini kama mutu mumoja akifufuka na kuwaendea, watageuka toka katika zambi zao.’
Lakini Yesu akawaambia: “Kwa sababu gani munafazaika na kuwa na mashaka?
Nao wakamwambia: “Uko na wazimu!” Lakini akakaza kusema kwamba ni kweli. Basi wakasema: “Ni malaika wake.”
Mufalme Saulo akamwambia: “Usiogope! Unaona nini?” Yule mwanamuke akamujibu: “Ninaona mungu akipanda toka ndani ya udongo.”