35 Nao vilevile wakawaelezea mambo yote yaliyotokea katika njia na namna walivyomutambua Yesu wakati alipomega mukate.
Nao walikuwa wakijitoa kufuata mafundisho ya mitume, kuishi katika ushirika wa kindugu, kumega mukate na kuomba.
Mujikaze kutambua mambo yanayomupendeza Bwana.