31 Halafu, macho yao yakafumbuliwa, wakamutambua. Lakini yeye akatoweka, nao hawakumwona tena.
Na watu wa kule walipomutambua Yesu, wakatuma habari katika sehemu zile zote. Halafu wakamuletea wagonjwa wote
lakini macho yao yalizuizwa kumutambua.
Lakini yeye akapita katikati yao, na kujiendea.
Kwa ajili ya hii, wakaokota mawe kwa kumutupia. Lakini Yesu akajificha na kutoka ndani ya hekalu.