22 Zaidi ya hiyo wanawake wamoja wa kundi letu walitushitusha. Walienda kwenye kaburi asubui mapema,
lakini hawakuona maiti yake. Basi wakarudia kutuelezea kwamba wamalaika waliwatokea na kuwaambia kwamba yeye ni muzima.
Basi Maria wa Magdala akaenda kuwapasha wanafunzi habari kama amemwona Bwana, na kwamba amemwambia maneno hayo.