17 Yesu akawauliza: “Ni maneno gani haya munayosumulia hapa katika njia.” Nao wakasimama, wakiwa wanahuzunika.
lakini macho yao yalizuizwa kumutambua.
Na mumoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamujibu: “Kati ya wageni wanaokaa Yerusalema ni wewe tu usiyejua mambo yaliyotokea kule katika siku hizi?”
Lakini kwa sababu nimewaambia maneno haya, mumesikitika sana.