13 Siku ile ile, wawili kati ya wanafunzi walikuwa wakienda kwenye kijiji cha Emau, kilichokuwa kwa umbali wa kilometre kumi na moja kutoka Yerusalema.
Walikuwa wakiongea juu ya mambo yote yaliyotokea.
Na mumoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamujibu: “Kati ya wageni wanaokaa Yerusalema ni wewe tu usiyejua mambo yaliyotokea kule katika siku hizi?”