1 Siku ya kwanza ya juma, asubui mapema, wale wanawake wakaenda kwenye kaburi, nao walibeba yale mafuta waliyotengeneza.
Kulikuwa wanawake wamoja walioangalia kwa mbali. Kati yao kulikuwa Maria wa Magdala, Maria mama ya kijana Yakobo na Yose na mwanamuke mwingine Salome.
Na hawa ndio waliowapasha habari ile kwa mitume: Maria wa Magdala, Yoana na Maria mama ya Yakobo. Kulikuwa vilevile wanawake wengine pamoja nao.
Walipofika, wakakuta jiwe kubwa limekwisha kusukumwa pembeni ya kiingilio cha kaburi.
Zaidi ya hiyo wanawake wamoja wa kundi letu walitushitusha. Walienda kwenye kaburi asubui mapema,