Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 23:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Yesu akawageukia na kuwaambia: “Ninyi wanawake wa Yerusalema, musinililie mimi, lakini mujililie ninyi wenyewe pamoja na watoto wenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 23:28
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Enyi wabinti wa Yerusalema, mimi ni mweusi. Ninapendeza kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya nyumba ya Solomono.


Ninawasihi, enyi wabinti wa Yerusalema, kama vile paa au swala wanavyokuwa katika pori, musichochee wala kuamusha mapenzi, mpaka pale wakati wake utakapofika.


Nguzo zake zilitengenezwa kwa feza, nafasi ya kuegemea imefunikwa kwa zahabu, nafasi ya kuikalia imefunikwa na vitambaa vya nyekundu-nyeusi. Katikati yake kilipambwa na wabinti wa Yerusalema waliokishonea vitambulisho vya upendo.


Ninawasihi, enyi wabinti wa Yerusalema, kama vile paa au swala wanavyokuwa katika pori, musichochee wala kuamusha mapenzi, mpaka pale wakati wake utakapofika.


Kinywa chake kinajaa maneno matamu. Yeye wote anapendeza. Basi, hivi ndivyo mupenzi wangu anavyokuwa, ndivyo rafiki yangu anavyokuwa, enyi wabinti wa Yerusalema.


Ninawasihi, enyi wabinti wa Yerusalema, mukimwona mupenzi wangu, mumwelezee kwamba ninaugua kwa ajili ya mapenzi!


Ninawasihi, enyi wabinti wa Yerusalema, musichochee wala kuamusha mapenzi, mpaka wakati wake utakapofika.


Kundi kubwa la watu walimufuata. Kati yao kulikuwa wanawake waliokuwa wakijipigapiga kwenye kifua kwa huzuni na kumulilia.


Kwa maana siku zitakuja wakati watu watakaposema: ‘Heri wanawake wanaokuwa tasa, wale waliokosa kuzaa na kunyonyesha!’


Angalia, yeye anakuja katikati ya mawingu! Kila mutu atamwona, hata wale waliomutoboa kwa mukuki. Na kwa sababu yake mataifa yote ya dunia yatalalamika kwa huzuni. Hakika ni vile! Amina.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ