Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 23:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Akamufungua yule mutu waliyetaka, aliyefungwa kwa ajili ya kuleta fujo na kuua watu, na kumutoa Yesu kwao kusudi wamutendee vile walivyotaka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 23:25
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu mufalme akamwambia Hamani: “Umepewa watu wote na feza zile, tumia vile unavyopenda.”


Basi Pilato akawafungulia Baraba, lakini akaamuru wamupige Yesu fimbo na kumutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.


Kwa kuwa Pilato alitaka kuwapendeza watu, basi akawafungulia Baraba. Na kisha kuamuru wamupige Yesu fimbo, akamutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.


Wakaanza kumushitaki, wakisema: “Tulimukuta mutu huyu akiwashawishi watu wa taifa letu kufanya uasi. Yeye alikuwa akiwaambia kwamba wasilipe kodi kwa Mufalme wa Roma. Na zaidi ya hii anasema kwamba yeye ndiye Kristo, Mufalme aliyengojewa.”


Halafu akakata shauri la kuwatendea sawa walivyotaka.


Nao walipokuwa wakimupeleka Yesu kwenda kutundikwa, wakakutana na mutu mumoja aliyeitwa Simoni, wa inchi ya Kurene, aliyekuwa akitoka kwenye vijiji. Wakamulazimisha abebe musalaba wa Yesu na kumufuata nyuma.


Lakini wakazidi kusema kwa nguvu: “Kwa njia ya mafundisho yake anawashawishi watu kufanya uasi katika Yudea yote. Alianzia Galilaya na sasa amefika hapa.”


Halafu wakalalamika kwa nguvu: “Hatutaki mutu huyu! Tunataka utufungulie Baraba!” (Yule Baraba alikuwa munyanganyi.)


Halafu Pilato akamutoa Yesu kwao, kusudi atundikwe juu ya musalaba. Basi wakamukamata Yesu.


Yeye alikuwa Mutakatifu na Mwenye Haki, lakini mukamukana, mukataka Pilato awafungulie mwuaji.


Sasa, mufalme muliyejichagulia ndiye huyu hapa. Mulimwomba Yawe awape mufalme, naye amewapa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ