Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 23:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Pilato akawaambia kwa mara ya tatu: “Alifanya ubaya gani? Mimi sikumwona na hata kosa moja linalomustahili kuhukumiwa kufa. Nitaamuru apigwe fimbo, na kisha nitamufungua.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 23:22
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Akawaambia: “Mumeniletea mutu huyu mukisema kwamba anashawishi watu kufanya uasi. Basi nimemwuliza mbele yenu juu ya maneno yale, lakini sikumwona na kosa lolote ninyi munalomushitakia.


Basi nitaamuru apigwe fimbo, na kisha nitamufungua.” [


Kufuatana na vile Pilato alivyotaka kumufungua Yesu, yeye akasema tena na watu.


Lakini wakapiga tena kelele, wakisema: “Umutundike juu ya musalaba! Umutundike juu ya musalaba!”


Lakini wakaendelea kupiga kelele kubwa wakiomba Yesu atundikwe juu ya musalaba. Na kwa mwisho akashindwa kwa sababu ya makelele yao.


Halafu Pilato akawaambia wakubwa wa makuhani na kundi la watu: “Mimi sioni hata sababu moja ya kumuhukumu mutu huyu.”


Lakini mulikombolewa kwa njia ya damu yenye bei kali ya Kristo, aliyekuwa kama kondoo asiyekuwa na kilema wala uchafu.


Kufuatana na hiyo, Kristo naye alikufa mara moja tu kwa sababu ya zambi zenu. Yeye alikuwa mwenye haki kwa ajili ya waovu, kusudi awaonyeshe ninyi njia ya kumufuata Mungu. Aliuawa kimwili, lakini kwa uwezo wa Roho Mutakatifu alipata tena uzima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ