Luka 23:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
15 Hata Herode vilevile hakumwona na kosa; na ni kwa sababu hii amemurudisha kwetu. Mutu huyu hakufanya hata kosa moja linalomustahili kuhukumiwa kufa.
Danieli akaonekana kuwa bora kuliko wale wasimamizi wengine na wakubwa wote kwa maana alikuwa na roho njema. Hivyo mufalme akakusudia kumupa uongozi wa ufalme wote.