68 na kama ninawauliza ulizo, hamutanijibu.
Yeremia akamujibu Zedekia: Nikikuambia ukweli hautaniua? Na kama nikikushauria, hautanisikiliza.
na kumwuliza: “Kama wewe ni Kristo, utuambie.” Akawajibu: “Kama ninawaambia, hamutanisadiki,
Lakini zaidi ya hiyo Mwana wa Mutu ataikaa na mamlaka karibu na Mungu Mwenye Uwezo.”