67 na kumwuliza: “Kama wewe ni Kristo, utuambie.” Akawajibu: “Kama ninawaambia, hamutanisadiki,
Yeremia akamujibu Zedekia: Nikikuambia ukweli hautaniua? Na kama nikikushauria, hautanisikiliza.
Lakini Abrahamu akamwambia: ‘Kama wandugu zako hawasikilizi maonyo ya Musa na ya manabii, hawatasadiki hata mutu aliyefufuka.’ ”
na kama ninawauliza ulizo, hamutanijibu.
Kuhani Mukubwa akamwuliza Yesu juu ya wanafunzi wake na juu ya mafundisho yake.
Basi kwa sababu gani unaniuliza mimi? Uwaulize wale waliosikia mambo niliyosema, kwa maana wanajua vizuri nini niliyosema.”