65 Nao walimutusi kwa maneno mengine mengi.
Watu waliokuwa wakipita pale walimutukana, na kutikisatikisa vichwa vyao,
Halafu walimu wamoja wa Sheria waliokuwa pale wakajisemesha: “Mutu huyu anamutukana Mungu!”
“Na kila mutu anayesema vibaya juu ya Mwana wa Mutu atasamehewa, lakini kila mutu anayemutukana Roho Mutakatifu, hatasamehewa.
Mara nyingi niliwaazibu katika nyumba za kuabudia na kuwashurutisha wakane imani yao. Niliwakasirikia kupita kipimo, hata nikaenda kuwatesa katika miji ya inchi za kigeni.