6 Yuda akakubali na kuanza kutafuta wakati unaokuwa muzuri kwa kumutoa Yesu kwao, kwa uficho pasipo watu kujua.
Lakini walijisemesha: “Tusimukamate kwa wakati wa karamu, kusudi fujo isitokee kati ya watu.”
Kwa maana walijisemesha: “Tusimukamate kwa wakati wa karamu, kusudi fujo isitokee kati ya watu.”
Wakafurahi sana, wakapatana kumupa feza.
Siku ya karamu ya Mukate Usiotiwa Chachu, ndiyo siku ile walipaswa kuchinja kondoo waliotayarishwa kwa ajili ya Pasaka ikatimia.