59 Kisha muda wa karibu saa moja, mutu mwingine akatia mukazo akisema: “Hakika, mutu huyu alikuwa pamoja naye, kwa sababu yeye ni wa Galilaya.”
Lakini Petro akasema: “Sijui mambo unayoyasema.” Wakati ule alipokuwa angali akisema, jogoo akawika.
Nao wakamwambia: “Uko na wazimu!” Lakini akakaza kusema kwamba ni kweli. Basi wakasema: “Ni malaika wake.”