Wakati ule Simoni Petro alikuwa angali pale akiota moto. Basi wakamwuliza: “Wewe vilevile si mumoja wa wanafunzi wa mutu huyu?” Petro akakana, akisema: “Hapana! Mimi si mwanafunzi wake.”
Mutumishi mumoja wa Kuhani Mukubwa, aliyekuwa ndugu ya mutu yule Petro aliyemukata sikio, akamwambia: “Mimi sikukuona kule katika bustani pamoja naye?”