55 Wakakonga moto katikati ya kiwanja na kuikaa, na Petro akakuja kuota moto pamoja nao.
Heri mutu asiyefuata shauri la waovu, asiyeshiriki katika njia ya wenye zambi, wala kukusanyika na wenye kuzarau;
Usiniazibu pamoja na watu wabaya, wale watenda maovu wanaosema vizuri na wenzao, kumbe wanajaa ubaya ndani ya moyo.
Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.
Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”
Wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakakusanyika ndani ya nyumba ya Kuhani Mukubwa, aliyeitwa Kayafa,
Yesu alikuwa katika uchungu mukubwa, akazidi kuomba kwa bidii. Jasho iliyomutoka ikakuwa kama matone ya damu yaliyokuwa yakitiririka mpaka chini.]
Mutumishi mumoja mwanamuke alipomwona Petro akiikaa karibu na moto, akamukazia macho na kusema: “Mutu huyu vilevile alikuwa pamoja naye.”
Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”