48 Lakini Yesu akamwuliza: “Yuda, unamutoa Mwana wa Mutu kwa kumubusu?”
Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.
Makaripio ya rafiki yanaonyesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.
Yesu alipokuwa hajamaliza kusema, kundi la watu wakafika, wakiongozwa na Yuda, mumoja wa wanafunzi kumi na wawili. Akamujongelea Yesu kusudi amubusu.
Wale wanafunzi wa Yesu walipoona mambo yatakayotendeka, wakamwuliza: “Bwana, tuwakate kwa panga?”