47 Yesu alipokuwa hajamaliza kusema, kundi la watu wakafika, wakiongozwa na Yuda, mumoja wa wanafunzi kumi na wawili. Akamujongelea Yesu kusudi amubusu.
Yuda Iskariota, mumoja wa wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa wakubwa wa makuhani, kusudi amutoe Yesu kwao.
Lakini Yesu akamwuliza: “Yuda, unamutoa Mwana wa Mutu kwa kumubusu?”