Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 22:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Halafu Yuda akaenda kusikilizana na wakubwa wa makuhani na wakubwa wa walinzi wa hekalu juu ya namna ya kumutoa Yesu kwao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 22:4
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Azariya mwana wa Hilkia mwana wa Mesulamu mwana wa Zadoki, mwana wa Merayoti mwana wa Ahitubu, aliyekuwa mukubwa wa nyumba ya Mungu;


Seraya mwana wa Hilkia mwana wa Mesulamu mwana wa Zadoki mwana wa Merayoti mwana wa Ahitubu aliyekuwa musimamizi wa nyumba ya Mungu,


Halafu mumoja wa wanafunzi kumi na wawili, aliyeitwa Yuda Iskariota, akaenda kwa wakubwa wa makuhani


Wakafurahi sana, wakapatana kumupa feza.


Halafu Yesu akawaambia wakubwa wa makuhani, wakubwa wa walinzi wa hekalu na wazee waliokuja kumukamata: “Mumekuja na panga na magongo kama vile wanavyokwenda kukamata munyanganyi?


Petro na Yoane walipokuwa wangali wakisema mbele ya watu, makuhani, mukubwa wa walinzi wa hekalu pamoja na Wasadukayo wakafika.


Mukubwa wa walinzi wa hekalu na wakubwa wa makuhani waliposikia habari hii, wakakuwa na wasiwasi sana, wakijiuliza ni nini itakayotokea.


Basi mukubwa wa walinzi wa hekalu akaenda pamoja na watumishi wake, akawaleta mitume. Lakini hawakuwakamata kwa kinguvu kwa sababu waliogopa watu wasiwatupie mawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ