Halafu Yesu akawaambia wakubwa wa makuhani, wakubwa wa walinzi wa hekalu na wazee waliokuja kumukamata: “Mumekuja na panga na magongo kama vile wanavyokwenda kukamata munyanganyi?
Basi mukubwa wa walinzi wa hekalu akaenda pamoja na watumishi wake, akawaleta mitume. Lakini hawakuwakamata kwa kinguvu kwa sababu waliogopa watu wasiwatupie mawe.