Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 22:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Halafu Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Nilipowatuma pasipo kubeba feza, wala mufuko, wala viatu, mulikosewa na kitu gani?” Wakamujibu: “Hakuna.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 22:35
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Israeli akamubariki Yosefu, akisema: “Mungu ambaye babu zangu Abrahamu na Isaka walimutii katika maisha yao, Mungu ambaye ameniongoza katika maisha yangu mpaka leo,


Lakini mufalme wa Misri akamwuliza: “Nimekunyima nini hata uamue sasa kurudi katika inchi yako?” Naye Hadadi akasema: “Uniache tu niende.”


Zaburi ya Daudi. Yawe ni muchungaji wangu; sitapungukiwa na kitu.


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Musibebe feza, wala mufuko, wala viatu, na musimusalimie mutu katika njia.


Yesu akamujibu: “Ninakuambia wewe Petro kwamba leo, mbele jogoo hajawika utakuwa umenikana mara tatu kuwa haunijui.”


Naye akawaambia: “Lakini sasa, yule anayekuwa na feza azitwae, na anayekuwa na mufuko autwae vilevile. Na yeyote asiyekuwa na upanga, auzishe nguo yake apate kuununua.


akiwaagiza: “Musibebe kitu chochote kwa safari yenu, hata ikiwa fimbo, mufuko, mukate wala feza na hata mumoja wenu asivae kanzu mbili.


kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Yule aliyeokota kingi hakukuwa na cha zaidi, na aliyeokota kidogo, hakupungukiwa.”


Tena ni yeye aliyewakulisha mana katika jangwa, chakula ambacho babu zenu hawajapata kukijua. Alifanya hayo yote kusudi awanyenyekeze na kuwajaribu kwa kuwapima apate kuwajalia mema kwa mwisho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ