21 “Lakini muangalie: yule anayenitoa anachangia chakula pamoja nami.
Warafiki zangu wakubwa wanachukizwa nami, wale niliokuwa nikiwapenda wamenigeuka.
Wanasema: “Magonjwa haya yatamwua; hatatoka tena ndani ya kitanda chake!”
Ilipokuwa magaribi, Yesu akafika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Yesu akajibu: “Nitachovya kipande cha mukate. Yule nitakayemupa kipande kile ndiye yeye.” Basi Yesu akachovya kipande cha mukate na kumupa Yuda mwana wa Simoni Iskariota.